
DJYUSTO.BLOGSPOT.COM na DJYUSTO.BLOGSPOT.COM zimekutana na Linah na Mr. Kesho ambao mbali na sanaa ya muziki wamegusia pia siasa na suala la Vyeti feki huku pia akiwataja wanasiasa ambao wanawakubali ambao ni pamoja na Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe, Mbunge wa Mikumi Joseph Haule ‘Prof Jay’ na Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi ‘Sugu’.
No comments:
Post a Comment